-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wanaweza kuwa na uhakika, kwa kuwa Yehova atakuja “na nguvu.” Basi hakuna kiwezacho kumzuia asitimize ahadi yake.
-
-
‘Wafarijini Watu Wangu’Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
15. (a) Yehova alikuja “na nguvu” lini, na ‘mkono unaomtawalia’ ni nani? (b) Ni habari gani njema ipasayo kutangazwa bila hofu?
15 Maneno ya Isaya yamejaa maana ya unabii kwa ajili ya siku yetu. Yehova alikuja “na nguvu” mwaka wa 1914 na kuanzisha Ufalme wake huko mbinguni. ‘Mkono unaomtawalia’ ni Mwana wake, Yesu Kristo, ambaye Yehova amemtawaza kwenye kiti chake cha ufalme mbinguni.
-