Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 8. Ni nini kinachoonyesha kwamba Yuda ana kasoro katika kuwaza kwake?

      8 Wakaaji fulani wa Yuda wanaweza kufanya fujo ili wajilinde, lakini hawatafanikiwa. Kutumia mabavu hakuwezi kuwa bora kuliko kumtumainia Yehova na kufanya matendo ya uadilifu; ni kama vile tando za buibui zisivyoweza kuwa bora kuliko vazi la kujilinda na hali mbaya ya hewa. Isaya anatangaza hivi: “Nyavu zao hazitakuwa mavazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao; kazi zao ni kazi za uovu, na vitendo vya udhalimu vimo mikononi mwao.

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 59:6,

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Yuda ana kasoro katika kuwaza kwake. Kwa kufanya fujo eti ajaribu kutatua matatizo yake, anaonyesha mwelekeo wa kutomwogopa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki