Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waovu Wataendelea Hata Lini?
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Februari 1
    • na kufanya wanadamu kuwa kama samaki wa baharini, kama vitu vitambaavyo, ambavyo havina mtawala?

  • Waovu Wataendelea Hata Lini?
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Februari 1
    • Wakaldayo hao wakatili si waabudu wa Yehova. Wao huwaona wanadamu kama ‘samaki na vitu vitambaavyo’ tu vinavyostahili kukamatwa na kutiishwa. Lakini mambo hayo hayatamshangaza Habakuki kwa muda mrefu. Hivi karibuni Yehova atamfunulia nabii wake kwamba Wababiloni hawatakosa kuadhibiwa kwa sababu ya utekaji-nyara wao wenye pupa na hatia yao ya kumwaga damu ovyoovyo.—Habakuki 2:8.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki