Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”
    Igeni Imani Yao
    • 8 Ikiwa ndivyo, alikuwa amekosea sana. Zaidi ya hayo, ikiwa yeye na Adamu walimwambia Kaini mambo hayo alipokuwa mvulana, kwa kweli walimfanya awe na kiburi. Baada ya muda, Hawa alizaa mwana wa pili, lakini hatusomi maneno ya kumsifu. Walimwita Abeli, jina linalomaanisha “Pumzi,” au “Ubatili.” (Mwa. 4:2) Je, jina hilo linamaanisha kwamba hawakutazamia mengi kutoka kwa Abeli, yaani, walikuwa na matumaini mengi kwa Kaini? Huenda ikawa hivyo.

  • “Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”
    Igeni Imani Yao
    • 10, 11. Kaini na Abeli walifanya kazi gani, na Abeli alisitawisha sifa gani?

      10 Wavulana hao walipoendelea kukua, inaelekea Adamu aliwazoeza kufanya kazi ambazo zingesaidia familia. Kaini alikuwa mkulima, naye Abeli alichunga wanyama.

  • “Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”
    Igeni Imani Yao
    • 13 Abeli alitenga wakati wa kufikiria mambo ya kiroho. Mwazie akichunga wanyama wake. Mchungaji alihitaji kutembea sana. Aliwaongoza wanyama kwenye vilima, mabonde, kuvuka mito, kila mara akitafuta majani mabichi zaidi, chemchemi bora za kunywesha wanyama, na mahali salama pa kupumzika. Kati ya viumbe wote wa Mungu, inaonekana kondoo ndio waliohitaji kuchungwa, ni kana kwamba walipaswa kuongozwa na kulindwa na mwanadamu. Je, Abeli aliona kwamba yeye pia alihitaji kuongozwa, kulindwa, na kutunzwa na Mtu mwenye hekima na uwezo kuliko wanadamu? Bila shaka, alitaja mambo kama hayo katika sala, na hivyo imani yake ikazidi kuimarika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki