-
Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 1
-
-
Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?
-
-
Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 1
-
-
Kutii kwa hiari kutatuletea baraka. Musa aliandika hivi: “Kuzishika amri . . . ninazokuamuru wewe leo, [ni] kwa faida yako.” (Mstari wa 13) Naam, kila amri ya Yehova, kila kitu anachotaka tufanye, ni kwa faida yetu. Mbona isiwe hivyo? “Mungu ni upendo,” inasema Biblia. (1 Yohana 4:8) Kwa hiyo, ametupa amri ambazo zitatuletea faida za kudumu. (Isaya 48:17) Kufanya yale ambayo Yehova anataka kutoka kwetu kutatuzuia tusikatishwe tamaa sasa na kutatuletea baraka za milele chini ya Ufalme wake.c
-
-
Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?Mnara wa Mlinzi—2009 | Oktoba 1
-
-
a Ingawa maneno ya Musa yaliwahusu Waisraeli wa kale, yanawahusu pia watu wote wanaotaka kumpendeza Mungu leo.—Waroma 15:4.
-