Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Eliya Amkweza Mungu wa Kweli
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Januari 1
    • Manabii wa Baali walianza ‘kuruka-ruka juu ya madhabahu waliyoifanya.’ Wakapaaza kilio tangu asubuhi wakisema: “Ee Baali, utusikie.” Lakini Baali hakujibu. (1 Wafalme 18:26) Kisha Eliya akaanza kuwadhihaki vikali akiwaambia hivi: “Mwiteni kwa sauti kuu; maana ni mungu huyo.” (1 Wafalme 18:27) Manabii wa Baali hata walianza kujikatakata na visu na vyembe—zoea lililotumiwa mara nyingi na wapagani kuamsha sikitiko la miungu yao.b—1 Wafalme 18:28.

  • Eliya Amkweza Mungu wa Kweli
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Januari 1
    • b Watu fulani hudokeza kwamba kujikatakata kulihusianishwa na lile zoea la kutoa dhabihu ya kibinadamu. Matendo hayo mawili yalidokeza kwamba kujitaabisha kimwili au kumwaga damu kwaweza kutokeza upendeleo wa mungu fulani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki