-
“Mtakuwa Hai”Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
-
-
“Mifupa Ikaanza Kukaribiana”
10. (a) Andiko la Ezekieli 37:7, 8 lilitabiri jambo gani kuhusu watu wa Mungu? (b) Ni mambo gani ambayo yaliwasaidia hatua kwa hatua watu wanaomwogopa Mungu waliokuwa uhamishoni wawe na imani?
10 Nyakati za kale, Yehova alitabiri kwamba watu wake wangefanywa tena kuwa hai hatua kwa hatua. (Eze. 37:7, 8) Basi ni mambo gani ambayo yaliwafanya watu wanaomwogopa Mungu waliokuwa uhamishoni wawe na imani kwamba tumaini lao la kurudi Israeli lingetimizwa? Chanzo kimoja cha tumaini kilikuwa maneno ya unabii yaliyosemwa zamani na manabii. Kwa mfano, Isaya alikuwa ametabiri kwamba watu waliobaki, “mbegu takatifu,” wangerudi katika nchi yao. (Isa. 6:13; Ayu. 14:7-9) Pia, unabii mwingi kuhusu kurudishwa ambao Ezekieli alikuwa ameandika bila shaka uliendelea kuwapa tumaini. Isitoshe, kuwepo kwa wanaume waaminifu kama vile nabii Danieli huko Babiloni—na pia kuanguka kwa jiji la Babiloni mwaka wa 539 K.W.K.—kuliimarisha tumaini la wahamishwa kwamba wangerudi.
-
-
“Mtakuwa Hai”Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
-
-
12 Baadaye, Charles T. Russell na washiriki wake walijitahidi kurudisha kweli za Biblia, ni kana kwamba “kano na nyama” ziliungana na mifupa. Gazeti la Zion’s Watch Tower na machapisho mengine yaliwasaidia watu wenye mioyo minyoofu watambue kweli za Biblia, ambazo ziliwachochea kujiunga na watumishi wa Mungu waliotiwa mafuta. Mwanzoni mwa miaka ya 1900, watumishi wa Mungu waliotiwa mafuta walizidi kutiwa nguvu na vifaa kama vile “Photo-Drama of Creation” na kitabu The Finished Mystery. Baada ya muda mfupi, wakati wa Mungu kufanya watu wake ‘wasimame kwa miguu yao’ ukafika. (Eze. 37:10) Jambo hilo lilitukia lini na jinsi gani? Matukio yaliyotukia katika Babiloni la kale yanatusaidia kujibu swali hilo.
-
-
Ibada Safi—Yarudishwa Hatua kwa HatuaHatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
-
-
“Kano na nyama”
Charles T. Russell na washirika wake walirudisha kweli za Biblia
-