Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Bwana wa Kweli Aja kwa Ajili ya Hukumu
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Julai 1
    • Yehova hawaoni kwa mchezo tu wale wanaodharau mpango wa ndoa. Kinyume cha sheria ya Mungu, wanaume wa Yuda wametwaa wake wa kigeni. (Kumbukumbu 7:3, 4) Wameshughulika kwa hila na wake za ujana wao kwa kuwataliki. Yehova “amechukia kutaliki,” Malaki anaonya.​—2:10-17, NW.

  • Bwana wa Kweli Aja kwa Ajili ya Hukumu
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Julai 1
    • ○ 2:13​—Waume wengi Wayahudi walikuwa wakitaliki wake za ujana wao, labda ili wafunge ndoa na wanawake vijana zaidi wa kipagani. Madhabahu ya Yehova ikafunikwa na machozi​—kwa uwazi hayo yakiwa ni yale ya wake waliokataliwa ambao walikuja patakatifu kumimina kihoro chao mbele za Mungu.​—Malaki 2:11, 14, 16.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki