Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Uadilifu Si kwa Mapokeo ya Mdomo
    Mnara wa Mlinzi—1990 | Oktoba 1
    • ‘Mlisikia Kwamba Ilinenwa’

  • Uadilifu Si kwa Mapokeo ya Mdomo
    Mnara wa Mlinzi—1990 | Oktoba 1
    • 16. Ni zoea gani la Kiyahudi lililofanya kuapa viapo kukose maana, na Yesu alichukua msimamo gani?

      16 Kwa kufuata ukanda ule ule Yesu aliendelea hivi: “Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usizuri [usiape bila kufanya, NW] . . . lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa.” Kufikia wakati huu Wayahudi walikuwa wakivunja heshima ya kiapo wakawa wakiapa-apa viapo vingi juu ya vijambo visivyo vya maana bila kuvifanya. Lakini Yesu alisema: “Usiape kabisa . . . Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo.” Kanuni yake ilikuwa sahili: Sema ukweli nyakati zote, bila kulazimika kuhakikisha neno lako kwa kiapo. Acha viapo vibakie kwa mambo yaliyo muhimu.—Mathayo 5:33-37; linganisha 23:16-22.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki