Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Wanaume Watatu Wenye Hekima” Walikuwa Nani? Je, Walifuata “Nyota” ya Bethlehemu?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • “Wanaume wenye hekima” walikuwa Wangapi?

      Biblia haitaji idadi na kulingana na desturi mbalimbali idadi hiyo inatofautiana. Encyclopedia Britannica inasema, “Kulingana na desturi za Mashariki idadi ya Mamajusi ilikuwa 12, na watatu kulingana na desturi za Magharibi, labda kwa sababu ya zawadi walizompa mtoto, yaani ‘dhahabu, ubani na manemane’ (Mathayo 2:11).”

  • “Wanaume Watatu Wenye Hekima” Walikuwa Nani? Je, Walifuata “Nyota” ya Bethlehemu?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Wanajimu hawakumtembelea Yesu usiku aliozaliwa. Biblia inasema hivi: “Walipoingia ndani ya nyumba wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake.” (Mathayo 2:11) Jambo hili linaonyesha kwamba familia hiyo ilikuwa imehamia ndani ya nyumba na hawakuwa wakiishi ndani ya hori.—Luka 2:16.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki