Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kwa Nini Tunahudhuria Ukumbusho?
    Mnara wa Mlinzi (Funzo)—2022 | Januari
    • 2 Kila mwaka, tunakuwa miongoni mwa mamilioni ya watu ulimwenguni pote wanaokusanyika ili kukumbuka kifo cha mtu tunayempenda sana​—Yesu Kristo. (1 Pet. 1:8) Tunakusanyika kumkumbuka yule aliyetoa uhai wake uwe fidia ili kutukomboa kutokana na dhambi na kifo. (Mt. 20:28) Isitoshe, Yesu aliwaagiza wafuasi wake wakumbuke kifo chake. Usiku wa kabla ya kifo chake, alianzisha mlo wa pekee wa jioni na akaamuru hivi: “Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka.”b​—Luka 22:19.

  • Kwa Nini Tunahudhuria Ukumbusho?
    Mnara wa Mlinzi (Funzo)—2022 | Januari
    • b Maneno haya yametafsiriwa “Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu” (Union Version).

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki