Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Hakuna Mtu Mwingine Ambaye Amewahi Kuzungumza Hivyo’
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Baada ya kusikiliza mafundisho ya Yesu, baadhi yao wanasema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii,” inaelekea wanarejelea nabii aliyetabiriwa ambaye angekuwa mkuu kuliko Musa. Wengine wanasema: “Huyu ndiye Kristo.” Lakini wengine wanapinga na kusema: “Kristo hatakuja kutoka Galilaya, sivyo? Je, andiko halisemi kwamba Kristo atatoka katika uzao wa Daudi na atatoka Bethlehemu, kijiji alichoishi Daudi?”—Yohana 7:40-42.

  • ‘Hakuna Mtu Mwingine Ambaye Amewahi Kuzungumza Hivyo’
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Maandiko hayasemi moja kwa moja kwamba nabii angetokea Galilaya. Hata hivyo Neno la Mungu lilionyesha kwamba Kristo angetokea huko; lilitabiri kwamba “nuru kuu” ingeonekana katika “Galilaya ya mataifa.” (Isaya 9:1, 2; Mathayo 4:13-17) Isitoshe, kama ilivyotabiriwa, Yesu alizaliwa huko Bethlehemu, naye ni mzao wa Daudi. Ingawa huenda Mafarisayo wanajua mambo hayo, inawezekana kwamba wao ndio wanaoeneza habari za uwongo kumhusu Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki