Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Biblia Ilitabiri Mitazamo na Matendo ya Watu Leo?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
      • Unafiki wa kidini. Idadi ya watu ‘wanaoonekana kama watu wanaomwogopa Mungu’ inazidi kuongezeka. (2 Timotheo 3:5) Lakini badala ya kujitiisha na kufanya mapenzi ya Mungu, wanafuata viongozi wa kidini ambao wanawaambia mambo wanayotaka kusikia.—2 Timotheo 4:3, 4.

  • Je, Biblia Ilitabiri Mitazamo na Matendo ya Watu Leo?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Tunapaswa kutendaje kadiri watu wanavyozidi kuwa wabaya?

      Neno la Mungu linasema hivi: “Jiepushe nao.” (2 Timotheo 3:5) Hilo halimaanishi tujitenge mbali na jamii. Badala yake, tunapaswa kuepuka kuwa na urafiki wa karibu na wale wanaoishi maisha yenye ubinafsi, bila kumtegemea Mungu.—Yakobo 4:4.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki