-
Je, Biblia Ilitabiri Mitazamo na Matendo ya Watu Leo?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Unafiki wa kidini. Idadi ya watu ‘wanaoonekana kama watu wanaomwogopa Mungu’ inazidi kuongezeka. (2 Timotheo 3:5) Lakini badala ya kujitiisha na kufanya mapenzi ya Mungu, wanafuata viongozi wa kidini ambao wanawaambia mambo wanayotaka kusikia.—2 Timotheo 4:3, 4.
-
-
Je, Biblia Ilitabiri Mitazamo na Matendo ya Watu Leo?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Tunapaswa kutendaje kadiri watu wanavyozidi kuwa wabaya?
Neno la Mungu linasema hivi: “Jiepushe nao.” (2 Timotheo 3:5) Hilo halimaanishi tujitenge mbali na jamii. Badala yake, tunapaswa kuepuka kuwa na urafiki wa karibu na wale wanaoishi maisha yenye ubinafsi, bila kumtegemea Mungu.—Yakobo 4:4.
-