-
Je, Biblia Imebadilishwa au Kupotoshwa?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Kwenye 1 Yohana 5:7, Biblia fulani za zamani zina maneno yafuatayo: “mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni umoja.” Hata hivyo, hati zinazotegemeka zinathibitisha kwamba maneno hayo hayakuwepo katika maandishi ya awali. Yaliongezwa baadaye.a Hivyo, tafsiri za Biblia za kisasa zinazoaminika hazina maneno hayo.
-
-
Je, Biblia Imebadilishwa au Kupotoshwa?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
a Maneno hayo hayapatikani katika Kodeksi ya Sinai, Kodeksi ya Aleksandria, Hati Na. 1209 ya Vatikani, Vulgate ya Kilatini ya awali, Tafsiri ya Kisiria ya Philoxenia-Harclea, au Peshitta ya Kisiria.
-