Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi—2015 | Mei 15
    • Lakini “Gogu na Magogu” anayetajwa kwenye Ufunuo 20:8 ni nani? Wakati wa jaribu la mwisho ambalo litatokea mwishoni mwa Miaka Elfu Moja, wale watakaomwasi Yehova wataonyesha mtazamo wa uuaji kama ule wa ‘Gogu wa Magogu,’ yaani yale mataifa yatakayowashambulia watu wa Mungu mwishoni mwa dhiki kuu. Makundi yote mawili yatapata matokeo yaleyale, yaani, yataangamizwa milele! (Ufu. 19:20, 21; 20:9) Hivyo basi, inafaa kwamba wale wote watakaoasi mwishoni mwa Miaka Elfu Moja wanaitwa “Gogu na Magogu.”

      Mfululizo wa matukio wa shambulizi la Gogu na Magogu mwishoni mwa miaka 1,000
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi—2015 | Mei 15
Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki