Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Iweni Wasomaji Wenye Furaha wa Kitabu cha Ufunuo
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Desemba 1
    • 16. Kwa nini sura za mwisho za Ufunuo hasa ni zenye kufurahisha?

      16 Wasomaji wenye furaha wa kitabu cha Ufunuo wanaweza kusisimka sana kwa shangwe wasomapo sura za mwisho zinazofafanua tumaini letu tukufu—mbingu mpya na dunia mpya, yaani, serikali ya Ufalme wa kimbingu yenye uadilifu ikitawala jamii ya wanadamu waliosafishwa, ili kumsifu “Yehova Mungu Mweza-Yote.” (Ufunuo 21:22) Mfululizo huo mzuri ajabu wa maono ulipofikia mwisho, malaika aliye mjumbe alimwambia Yohana: “Maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli; ndiyo, Yehova Mungu wa semi zilizopuliziwa za manabii alimtuma malaika wake kuonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatukie upesi. Na, tazama! mimi ninakuja upesi. Mwenye furaha ni yeyote anayeshika maneno ya unabii wa hati-kunjo hii.”—Ufunuo 22:6, 7.

  • Iweni Wasomaji Wenye Furaha wa Kitabu cha Ufunuo
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Desemba 1
    • 18, 19. (a) Kwa nini bado lazima Yesu aje, na tunashiriki katika tumaini gani analotaja Yohana? (b) Bado Yehova ‘atakuja’ kwa kusudi gani?

      18 Katika kitabu cha Ufunuo, Yesu alitangaza mara kadhaa: “Mimi ninakuja upesi.” (Ufunuo 2:16; 3:11; 22:7, 20a) Ni lazima bado aje kutekeleza hukumu juu ya Babiloni Mkubwa, mfumo wa kisiasa wa Shetani, na juu ya wanadamu wote wanaokataa kuinyenyekea enzi kuu ya Yehova, kama inavyowakilishwa na Ufalme wa Kimesiya. Twaungana pamoja na mtume Yohana, aliyepaza sauti akisema: “Ameni! Njoo, Bwana Yesu.”—Ufunuo 22:20b.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki