-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—2014 | Novemba 15
-
-
Andiko la Ufunuo 11:3 linasema kwamba mashahidi wawili wangetoa unabii kwa siku 1,260. Kisha, simulizi hilo linasema kwamba mnyama-mwitu ‘angewashinda na kuwaua.’ Lakini baada ya “siku tatu na nusu,” mashahidi hao wawili wangerudishwa kwenye uhai, na hilo lingewashangaza watu wote waliokuwa wakiwatazama.—Ufu. 11:7, 11.
-
-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—2014 | Novemba 15
-
-
Baada ya kuhubiri wakiwa wamevikwa nguo za magunia, watiwa-mafuta hao waliuawa kwa njia ya mfano walipofungwa gerezani kwa muda mfupi, yaani, kwa siku tatu na nusu za mfano. Maadui wa watu wa Mungu walishangilia sana kwa sababu waliona kwamba kazi yao ilikuwa imekomeshwa au kuuawa kwa njia ya mfano.—Ufu. 11:8-10.
-