Eske tunezi kuwa na maisha ya furaa milele?
“Dunia itakuwa ya bantu bapole na bataikalamo milele.”—Zaburi 37:29.
Bible inaonesha asema mu mashiku ya ku mbele
Kila muntu atakuwa na santé ya muzuri.—Isaya 33:24; 35:5, 6.
Dunia itakuwa tena fashi ya muzuri.—Isaya 35:1, 2; Ufunuo 11:18.
Nju ya kufunda bya mingi, wende ku jw.org.
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania