Eske mashauri ya Yesu inezi kukusaidiya?
‘Mambo yote ile unapenda bantu bakufanshiye, na weye unapashwa kubafanshiayo.’—Matayo 7:12.
Yesu arifundisha tena asema
Atutangaika sana kama tunaweka akiri pa mambo ile tuko nayo leo kuriko kwangaisha akiri bule nju ya mambo ya kesho.—Matayo 6:34.
Tunapashwa kurumia bengine.—Matayo 6:14, 15.
Nju ya kufunda bya mingi, wende ku jw.org.
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania