Kuko ule anashikiyaka maombi yetu?
“Ee, Weye ule unashikiaka sala [ao, maombi], bantu ba ma namna yote batakuya kwako.”—Zaburi 65:2.
Bible inatuonesha
Namna ya kuomba.—Matayo 6:7-13.
Mungu anajibwaka maombi ile inatoka ku roo.—Matayo 7:7, 8.
Nju ya kufunda bya mingi, wende ku jw.org.
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania