Unezi kufanya nini nju mu famiye yako mukuwe furaa?
“Kila muntu anapashwa kupenda bibi yake sa vile anaripendaka ye moya; na bibi na ye, anapashwa kumweshimia sana bwana yake.”—Waefeso 5:33.
Bible inasema kama
Bwana ashipashwe kuwa na bibi mwingine. Na bibi na ye, ashipashwe kuwa na bwana mwingine.—Matayo 19:4-6.
Bale batoto beko neshimia na kushikiya bazazi yabo batakuwa na furaa.—Waefeso 6:1-3.
Nju ya kufunda bya mingi, wende ku jw.org.
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania