Ufalme ya Mungu itaisha magumu yetu je?
“Bantu babaya abatakuwako tena . . . Dunia itakuwa ya bantu bapole.”—Zaburi 37:10, 11.
Bible inaonesha asema ufalme ya Mungu
Ni guvernema ya bya kweri ile iko ku mbingu.—Danieli 2:44; 7:14.
Itatupachia bintu byote bile tuko nabyo lazima.—Isaya 65:21-23.
Nju ya kufunda bya mingi, wende ku jw.org.
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania