Mateso itaishaka?
Mungu “atabapangusha machozi yote ku mancho, na lufu alutakuyako tena, na kirio, na kuomboleza, na maumivu, byote abitakuyako tena.”—Ufunuo 21:4.
Bible inatwambia asema
Aina Mungu njo anatuleteyaka mateso.—Yakobo 1:13.
Anayuwaka mateso yetu na ataitosha.—Zaburi 34:17-19.
Nju ya kufunda bya mingi, wende ku jw.org.
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania