Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yoshua—Yaliyomo

      • Majiji ya kaskazini yatekwa (1-15)

      • Muhtasari wa ushindi wa Yoshua (16-23)

Yoshua 11:1

Marejeo

  • +Yos 12:7, 19
  • +Yos 12:7, 20

Yoshua 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Araba.”

Marejeo

  • +Yos 17:11; Amu 1:27

Yoshua 11:3

Marejeo

  • +Hes 13:29
  • +Mwa 15:16
  • +Kum 7:1; 20:17
  • +Kum 4:48

Yoshua 11:6

Marejeo

  • +Yos 10:8
  • +Kum 17:16; Met 21:31

Yoshua 11:8

Marejeo

  • +Yos 21:44
  • +Mwa 10:19; Yos 19:28, 31
  • +Yos 13:1, 6
  • +Kum 20:16

Yoshua 11:9

Marejeo

  • +Yos 11:6

Yoshua 11:10

Marejeo

  • +Yos 12:7, 19

Yoshua 11:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wakaziangamiza nafsi zote.”

Marejeo

  • +Law 27:29
  • +Kum 20:16; Yos 11:14

Yoshua 11:12

Marejeo

  • +Kum 9:5
  • +Kum 7:2, 16

Yoshua 11:14

Marejeo

  • +Yos 8:2, 27
  • +Kum 7:2
  • +Kum 20:16

Yoshua 11:15

Marejeo

  • +Kum 3:28; 7:1; 31:7
  • +Kum 4:2, 5

Yoshua 11:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maeneo yake yaliyo chini ya milima.”

Marejeo

  • +Hes 13:17; Kum 1:7
  • +Yos 10:40, 41
  • +Yos 12:7, 8

Yoshua 11:17

Marejeo

  • +Yos 13:1, 5
  • +Kum 4:48; Yos 13:8, 11

Yoshua 11:19

Marejeo

  • +Yos 9:7, 15
  • +Kum 20:17

Yoshua 11:20

Marejeo

  • +Kum 2:30
  • +Kut 34:12; Kum 7:2
  • +Kum 20:16

Yoshua 11:21

Marejeo

  • +Hes 13:22; Kum 1:28; Yos 15:13, 14
  • +Law 27:29; Yos 11:12; 24:11

Yoshua 11:22

Marejeo

  • +Kut 23:28-30
  • +Amu 1:18
  • +1Sa 17:4
  • +2Nya 26:1, 6

Yoshua 11:23

Marejeo

  • +Kut 23:27; Kum 11:23
  • +Hes 26:53, 54; Yos 14:1
  • +Yos 14:15; 21:44; 23:1

Jumla

Yos. 11:1Yos 12:7, 19
Yos. 11:1Yos 12:7, 20
Yos. 11:2Yos 17:11; Amu 1:27
Yos. 11:3Hes 13:29
Yos. 11:3Mwa 15:16
Yos. 11:3Kum 7:1; 20:17
Yos. 11:3Kum 4:48
Yos. 11:6Yos 10:8
Yos. 11:6Kum 17:16; Met 21:31
Yos. 11:8Yos 21:44
Yos. 11:8Mwa 10:19; Yos 19:28, 31
Yos. 11:8Yos 13:1, 6
Yos. 11:8Kum 20:16
Yos. 11:9Yos 11:6
Yos. 11:10Yos 12:7, 19
Yos. 11:11Law 27:29
Yos. 11:11Kum 20:16; Yos 11:14
Yos. 11:12Kum 9:5
Yos. 11:12Kum 7:2, 16
Yos. 11:14Yos 8:2, 27
Yos. 11:14Kum 7:2
Yos. 11:14Kum 20:16
Yos. 11:15Kum 3:28; 7:1; 31:7
Yos. 11:15Kum 4:2, 5
Yos. 11:16Hes 13:17; Kum 1:7
Yos. 11:16Yos 10:40, 41
Yos. 11:16Yos 12:7, 8
Yos. 11:17Yos 13:1, 5
Yos. 11:17Kum 4:48; Yos 13:8, 11
Yos. 11:19Yos 9:7, 15
Yos. 11:19Kum 20:17
Yos. 11:20Kum 2:30
Yos. 11:20Kut 34:12; Kum 7:2
Yos. 11:20Kum 20:16
Yos. 11:21Hes 13:22; Kum 1:28; Yos 15:13, 14
Yos. 11:21Law 27:29; Yos 11:12; 24:11
Yos. 11:22Kut 23:28-30
Yos. 11:22Amu 1:18
Yos. 11:221Sa 17:4
Yos. 11:222Nya 26:1, 6
Yos. 11:23Kut 23:27; Kum 11:23
Yos. 11:23Hes 26:53, 54; Yos 14:1
Yos. 11:23Yos 14:15; 21:44; 23:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yoshua 11:1-23

Yoshua

11 Mara tu Yabini mfalme wa Hasori aliposikia habari hizo, akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa Madoni,+ na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafi,+ 2 wafalme wa eneo la kaskazini lenye milima, wa maeneo tambarare* upande wa kusini wa Kinerethi, wale waliokuwa Shefela na kwenye miteremko ya Dori+ upande wa magharibi, 3 Wakanaani+ upande wa mashariki na magharibi, Waamori,+ Wahiti, Waperizi, Wayebusi katika eneo lenye milima, na Wahivi+ chini ya Mlima Hermoni+ katika nchi ya Mispa. 4 Basi wakatoka na majeshi yao yote, watu wengi sana kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari, pamoja na farasi na magari mengi sana ya vita. 5 Wafalme hao wote wakakubaliana kukutana, nao wakaja na kupiga kambi karibu na chemchemi ya Meromu ili kupigana na Waisraeli.

6 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope+ kwa sababu kesho, wakati kama huu, nitawatia wote mikononi mwa Waisraeli, nanyi mtawaangamiza. Mtakata mishipa ya miguu ya farasi wao,+ na kuyachoma moto magari yao.” 7 Basi Yoshua na wanajeshi wake wote wakawashambulia ghafla karibu na chemchemi ya Meromu. 8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+ 9 Kisha Yoshua akawatendea kama Yehova alivyokuwa amemwambia; akakata mishipa ya miguu ya farasi wao na kuchoma moto magari yao.+

10 Yoshua akarudi na kuliteka Hasori, akamuua mfalme wake kwa upanga,+ kwa sababu Hasori lilikuwa jiji kuu kati ya falme hizo zote. 11 Wakawaangamiza wakaaji wote* kwa upanga.+ Hakuna kiumbe yeyote anayepumua aliyebaki.+ Kisha akaliteketeza Hasori. 12 Yoshua akayateka majiji yote ya wafalme hao na kuwashinda wafalme wote kwa upanga.+ Akawaangamiza,+ kama Musa mtumishi wa Yehova alivyoamuru. 13 Hata hivyo, Waisraeli hawakuteketeza jiji lolote lililokuwa vilimani isipokuwa Hasori ambalo liliteketezwa na Yoshua. 14 Waisraeli wakajichukulia nyara zote na mifugo katika majiji hayo.+ Lakini wakawaangamiza wanadamu wote kwa upanga.+ Hawakumwacha mtu yeyote anayepumua.+ 15 Kama Yehova alivyomwamuru Musa mtumishi wake, ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua,+ na ndivyo Yoshua alivyofanya. Hakuna jambo lolote ambalo hakufanya kati ya mambo yote ambayo Yehova alimwamuru Musa.+

16 Yoshua aliiteka nchi hii yote: eneo lenye milima, eneo lote la Negebu,+ nchi yote ya Gosheni, Shefela,+ Araba,+ na eneo lenye milima la Israeli na maeneo yake ya Shefela,* 17 kuanzia Mlima Halaki, unaopanda hadi Seiri, na hadi Baal-gadi+ katika Bonde la Lebanoni chini ya Mlima Hermoni,+ naye akawashinda, akawakamata, na kuwaua wafalme wote wa maeneo hayo. 18 Yoshua alipigana na wafalme hao wote kwa muda mrefu. 19 Hakuna jiji lolote lililofanya amani na Waisraeli isipokuwa Wahivi waliokaa Gibeoni.+ Waisraeli walipigana na majiji mengine yote na kuyashinda.+ 20 Yehova aliacha mioyo yao iwe mikaidi+ hivi kwamba wakapigana na Waisraeli, ili awaangamize bila huruma.+ Walipaswa kuangamizwa, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+

21 Wakati huo, Yoshua aliwaangamiza kabisa Waanaki+ kutoka katika eneo lenye milima, Hebroni, Debiri, Anabu, na kutoka katika eneo lote lenye milima la Yuda na Israeli. Yoshua aliwaangamiza watu hao na majiji yao.+ 22 Waanaki hawakubaki katika nchi ya Waisraeli; walibaki+ tu Gaza,+ Gathi,+ na Ashdodi.+ 23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki