Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:14, 15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Ni lazima mshike Sabato kwa sababu ni takatifu kwenu.+ Mtu yeyote atakayeitia unajisi ni lazima auawe. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo, ni lazima auawe kutoka kati ya watu wake.+ 15 Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni takatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya Sabato ni lazima auawe.

  • Hesabu 15:32
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 32 Waisraeli walipokuwa nyikani, walimkuta mtu fulani akiokota kuni siku ya Sabato.+

  • Hesabu 15:35
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 35 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ni lazima mtu huyo auawe,+ Waisraeli wote watampiga mawe nje ya kambi.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki