Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zenu atakuwa maskini miongoni mwenu katika mojawapo ya majiji yaliyo katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msiifanye mioyo yenu iwe migumu au kumfumbia mkono ndugu yenu maskini.+

  • Zaburi 41:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayemjali mtu wa hali ya chini;+

      Yehova atamwokoa siku ya msiba.

  • Zaburi 112:5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  5 Mambo humwendea vema mtu anayekopesha kwa ukarimu.*+

      י [Yod]

      Hufanya mambo yake kwa haki.

  • Methali 3:27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Methali 19:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Marko 14:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Kwa maana maskini mnao sikuzote,+ na mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaotaka, lakini mimi hamtakuwa nami sikuzote.+

  • Matendo 11:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 Basi wanafunzi wakaamua kila mmoja kulingana na uwezo wake,+ watume msaada*+ kwa akina ndugu walioishi Yudea;

  • 1 Timotheo 6:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 Waambie watende mema, wawe matajiri katika matendo mazuri, wawe wakarimu, tayari kushiriki vitu na wengine,+

  • 1 Yohana 3:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki