-
Mambo ya Walawi 22:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Hampaswi kutoa kitu chochote chenye kasoro,+ kwa sababu hamtapata kibali mkifanya hivyo.
-
-
Mambo ya Walawi 22:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Hampaswi kumtoa dhabihu mnyama yeyote aliye kipofu, aliyevunjika, aliyekatwa, aliyejeruhiwa, mwenye uvimbe, vipele, au mba; hampaswi kumtolea Yehova yeyote kati ya wanyama hao au kumtolea Yehova dhabihu za aina hiyo kwenye madhabahu yake.
-
-
Kumbukumbu la Torati 15:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Lakini ikiwa ana kasoro, yaani, ni mlemavu, ni kipofu, au ana kasoro nyingine kubwa, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+
-