-
Hesabu 28:6, 7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Ni dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida,+ iliyoanzishwa kwenye Mlima Sinai, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova, 7 pamoja na toleo lake la kinywaji la robo ya hini kwa ajili ya kila mwanakondoo dume.+ Mimineni kileo mahali patakatifu kikiwa toleo la kinywaji mbele za Yehova.
-