-
1 Mambo ya Nyakati 15:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumikia pia wakiwa walinzi wa malango kwa ajili ya Sanduku.
-
-
1 Mambo ya Nyakati 16:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 na makuhani Benaya na Yahazieli walipiga tarumbeta daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 29:26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
26 Basi Walawi walikuwa wakisimama wakiwa na ala za Daudi, na makuhani wakiwa na tarumbeta.+
-
-
Nehemia 12:41Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
41 na makuhani Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria, na Hanania, wakiwa na tarumbeta,
-