-
Hesabu 26:62, 63Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
62 Wanaume wote wenye umri wa kuanzia mwezi mmoja na zaidi walioandikishwa walikuwa 23,000.+ Hawakuandikishwa pamoja na Waisraeli wengine,+ kwa sababu hawakupaswa kupewa urithi miongoni mwa Waisraeli.+
63 Hao ndio walioandikishwa na Musa na kuhani Eleazari walipowaandikisha Waisraeli katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani huko Yeriko.
-
-
Kumbukumbu la Torati 10:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+
-