-
Hesabu 23:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Ndipo Balaki akamwambia Balaamu: “Kwa nini umenitendea hivi? Nilikuleta ili uwalaani maadui wangu, lakini badala yake umewabariki tu.”+
-
-
Nehemia 13:1, 2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+
-