Hesabu 31:1, 2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 31 Kisha Yehova akamwambia Musa: 2 “Walipize kisasi+ Wamidiani+ kwa sababu ya mambo waliyowatendea Waisraeli. Baadaye utakufa na kuzikwa pamoja na watu wako.”*+
31 Kisha Yehova akamwambia Musa: 2 “Walipize kisasi+ Wamidiani+ kwa sababu ya mambo waliyowatendea Waisraeli. Baadaye utakufa na kuzikwa pamoja na watu wako.”*+