Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 “Wakati wowote unapowahesabu wana wa Israeli,+ ni lazima kila mmoja wao anipe mimi Yehova fidia kwa ajili ya nafsi yake* watu wanapohesabiwa. Watafanya hivyo ili wasipatwe na pigo lolote wanapoandikishwa.

  • Kutoka 38:26
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 26 Nusu shekeli iliyotolewa na kila mwanamume ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu,* ilitolewa na kila mwanamume aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ wote walikuwa 603,550.+

  • Hesabu 1:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 “Wahesabu+ Waisraeli wote,* kila mmoja wao* kulingana na familia yake, kulingana na ukoo wake,* orodhesha majina ya wanaume wote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki