-
Kutoka 22:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 “Mtu yeyote anayetoa dhabihu kwa miungu mingine isipokuwa kwa Yehova peke yake lazima auawe.+
-
-
Kutoka 32:27Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Basi Musa akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na ajifunge upanga wake na kupita kotekote kambini, kutoka lango mpaka lango, amuue ndugu yake, jirani yake, na rafiki yake wa karibu.’”+
-