Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 2:1, 2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ 2 wale waliokuja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigvai, Rehumu, na Baana.

      Idadi ya wanaume Waisraeli ilitia ndani:+

  • Ezra 3:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na makuhani wenzake na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na ndugu zake wakasimama na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa dhabihu za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Musa,+ mtu wa Mungu wa kweli.

  • Zekaria 6:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Unapaswa kuchukua fedha na dhahabu, utengeneze taji* na kumvika kichwani Yoshua+ mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki