-
Zaburi 109:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Kwa maana waovu na wadanganyifu hufumbua vinywa vyao dhidi yangu.
Wanaongea kunihusu kwa ndimi za uwongo;+
-
Zaburi 109:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Watoto wake* na watangetange wakiombaomba,
Wakitafuta chakula katika nyumba zao zilizoharibiwa.
-
-
-