-
Kutoka 13:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 29:10, 11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Kisha Daudi akamsifu Yehova mbele ya kutaniko lote. Daudi akasema: “Na usifiwe, Ee Yehova Mungu wa Israeli baba yetu, kwa umilele wote.* 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.
-
-
Zaburi 78:2-4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Nitakifungua kinywa changu kwa methali.
Nitafumbua mafumbo ya zamani za kale.+
-