-
Zaburi 78:43-51Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
43 Jinsi alivyoonyesha ishara zake kule Misri+
Na miujiza yake katika eneo la Soani,
44 Na jinsi alivyobadili mifereji ya Nile kuwa damu+
Hivi kwamba hawangeweza kunywa maji kutoka katika vijito vyake.
46 Mazao yao aliwapa parare wanaokula sana,
Matunda ya kazi yao ngumu akayapa makundi ya nzige.+
47 Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe+
Na mikuyu yao kwa mawe ya mvua.
49 Aliwamwagia hasira yake inayowaka,
Hasira kali na ghadhabu na taabu,
Makundi ya malaika yanayoleta msiba.
50 Alitayarisha njia kwa ajili ya hasira yake.
Hakuwalinda wasife;*
Naye aliwaua kwa ugonjwa hatari.
51 Mwishowe aliwaangamiza wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+
Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.
-