-
Isaya 49:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Yehova anasema hivi:
“Wakati wa kibali* nilikujibu,+
Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+
Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+
Ili kuitengeneza upya nchi,
Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+
9 Ili kuwaambia wafungwa, ‘Tokeni nje!’+
Na wale walio gizani,+ ‘Tokeni nje mwonekane!’
Watalisha kando ya barabara,
Malisho yao yatakuwa kando ya njia zilizokanyagwa.*
-