-
Zaburi 34:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia.
Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+
-
-
Zaburi 77:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
77 Kwa sauti yangu nitamlilia Mungu;
Nitamlilia Mungu kwa sauti kubwa, naye atanisikia.+
-