Zaburi 3:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Wengi wanasema hivi kunihusu:* “Mungu hatamwokoa.”+ (Sela)* Zaburi 42:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Maadui wangu wananidhihaki kwa chuki kali sana;** Mchana kutwa wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+ Zaburi 79:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+ Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetuKwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+
10 Maadui wangu wananidhihaki kwa chuki kali sana;** Mchana kutwa wananidhihaki wakisema: “Mungu wako yuko wapi?”+
10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+ Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetuKwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+