-
Yeremia 2:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 ‘Je, Israeli ni mtumishi, au ni mtumwa aliyezaliwa nyumbani?
Basi kwa nini amekuwa kitu cha kuporwa?
-
-
Ezekieli 30:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri;
Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+
-