Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Waisraeli wamwacha Yehova na kuanza kuabudu miungu mingine (1-37)

        • Israeli ni kama mzabibu wa kigeni (21)

        • Pindo za nguo zake zina madoa ya damu (34)

Yeremia 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “upendo wako mshikamanifu.”

Marejeo

  • +Ho. 2:15
  • +Kut 24:3
  • +Kum 2:7

Yeremia 2:3

Marejeo

  • +Kut 19:6; Kum 7:6
  • +Kut 17:8, 13

Yeremia 2:5

Marejeo

  • +Isa 5:4; Mik 6:3
  • +Kum 32:21
  • +Zb 115:4, 8

Yeremia 2:6

Marejeo

  • +Kut 14:30
  • +Kum 1:1; 32:9, 10
  • +Kum 8:14, 15

Yeremia 2:7

Marejeo

  • +Hes 13:26, 27; Kum 6:10, 11; 8:7-9
  • +Law 18:24; Hes 35:33; Zb 78:58; 106:38; Yer 16:18

Yeremia 2:8

Marejeo

  • +1Sa 2:12; Omb 4:13
  • +Eze 34:7, 8
  • +1Fa 18:19; Yer 23:13

Yeremia 2:9

Marejeo

  • +Eze 20:35; Mik 6:2

Yeremia 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “visiwa vya.”

Marejeo

  • +Mwa 10:2, 4
  • +Mwa 25:13; Zb 120:5; Yer 49:28

Yeremia 2:11

Marejeo

  • +Zb 106:20

Yeremia 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuchonga,” inaelekea kwenye mwamba.

Marejeo

  • +Zb 36:9; Yer 17:13; Ufu 22:1

Yeremia 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Wanasimba wenye manyoya marefu shingoni.”

Marejeo

  • +Isa 5:29; Yer 4:7

Yeremia 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Memfisi.”

Marejeo

  • +Yer 46:19
  • +Yer 43:4, 7; 46:14; Eze 30:18

Yeremia 2:17

Marejeo

  • +1Nya 28:9; 2Nya 7:19, 20

Yeremia 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kijito cha Mto Nile.

  • *

    Yaani, Mto Efrati.

Marejeo

  • +Isa 30:2; 31:1; Omb 5:6; Eze 16:26; 17:15
  • +2Fa 16:7; Ho. 5:13

Yeremia 2:19

Marejeo

  • +Yer 4:18
  • +Yer 5:22

Yeremia 2:20

Marejeo

  • +Law 26:13
  • +1Fa 14:22, 23; Eze 6:13
  • +Kut 34:15; Eze 16:15, 16

Yeremia 2:21

Marejeo

  • +Kut 15:17; Zb 80:8; Isa 5:1
  • +Isa 5:4

Yeremia 2:22

Marejeo

  • +Yer 16:17

Yeremia 2:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika tamaa ya nafsi yake.”

  • *

    Tnn., “mwezi wake.”

Yeremia 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nimeipenda miungu ya kigeni.”

Marejeo

  • +Yer 18:12
  • +Isa 2:6; Yer 3:13
  • +Yer 44:17

Yeremia 2:26

Marejeo

  • +Ezr 9:7

Yeremia 2:27

Marejeo

  • +Isa 44:13
  • +2Nya 29:6; Yer 32:33
  • +Amu 10:13-15; Zb 78:34; 106:47; Isa 26:16; Ho. 5:15

Yeremia 2:28

Marejeo

  • +Kum 32:37, 38
  • +Yer 11:13

Yeremia 2:29

Marejeo

  • +Yer 5:1; 9:2; Da 9:11

Yeremia 2:30

Marejeo

  • +2Nya 28:20-22; Isa 9:13
  • +Isa 1:5; Yer 5:3; Sef 3:2
  • +2Nya 36:15, 16; Ne 9:26; Mdo 7:52

Yeremia 2:31

Marejeo

  • +Kum 32:15

Yeremia 2:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukumbuu wake wa harusi?”

Marejeo

  • +Zb 106:21; Isa 17:10; Yer 18:15; Ho. 8:14

Yeremia 2:33

Marejeo

  • +2Nya 33:9

Yeremia 2:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi za maskini.”

Marejeo

  • +2Fa 21:16; Zb 106:38; Isa 10:1, 2; Mt 23:35
  • +Kut 22:2

Yeremia 2:36

Marejeo

  • +Isa 30:3; Yer 37:7
  • +2Nya 28:20, 21

Yeremia 2:37

Marejeo

  • +2Sa 13:19

Jumla

Yer. 2:2Ho. 2:15
Yer. 2:2Kut 24:3
Yer. 2:2Kum 2:7
Yer. 2:3Kut 19:6; Kum 7:6
Yer. 2:3Kut 17:8, 13
Yer. 2:5Isa 5:4; Mik 6:3
Yer. 2:5Kum 32:21
Yer. 2:5Zb 115:4, 8
Yer. 2:6Kut 14:30
Yer. 2:6Kum 1:1; 32:9, 10
Yer. 2:6Kum 8:14, 15
Yer. 2:7Hes 13:26, 27; Kum 6:10, 11; 8:7-9
Yer. 2:7Law 18:24; Hes 35:33; Zb 78:58; 106:38; Yer 16:18
Yer. 2:81Sa 2:12; Omb 4:13
Yer. 2:8Eze 34:7, 8
Yer. 2:81Fa 18:19; Yer 23:13
Yer. 2:9Eze 20:35; Mik 6:2
Yer. 2:10Mwa 10:2, 4
Yer. 2:10Mwa 25:13; Zb 120:5; Yer 49:28
Yer. 2:11Zb 106:20
Yer. 2:13Zb 36:9; Yer 17:13; Ufu 22:1
Yer. 2:15Isa 5:29; Yer 4:7
Yer. 2:16Yer 46:19
Yer. 2:16Yer 43:4, 7; 46:14; Eze 30:18
Yer. 2:171Nya 28:9; 2Nya 7:19, 20
Yer. 2:18Isa 30:2; 31:1; Omb 5:6; Eze 16:26; 17:15
Yer. 2:182Fa 16:7; Ho. 5:13
Yer. 2:19Yer 4:18
Yer. 2:19Yer 5:22
Yer. 2:20Law 26:13
Yer. 2:201Fa 14:22, 23; Eze 6:13
Yer. 2:20Kut 34:15; Eze 16:15, 16
Yer. 2:21Kut 15:17; Zb 80:8; Isa 5:1
Yer. 2:21Isa 5:4
Yer. 2:22Yer 16:17
Yer. 2:25Yer 18:12
Yer. 2:25Isa 2:6; Yer 3:13
Yer. 2:25Yer 44:17
Yer. 2:26Ezr 9:7
Yer. 2:27Isa 44:13
Yer. 2:272Nya 29:6; Yer 32:33
Yer. 2:27Amu 10:13-15; Zb 78:34; 106:47; Isa 26:16; Ho. 5:15
Yer. 2:28Kum 32:37, 38
Yer. 2:28Yer 11:13
Yer. 2:29Yer 5:1; 9:2; Da 9:11
Yer. 2:302Nya 28:20-22; Isa 9:13
Yer. 2:30Isa 1:5; Yer 5:3; Sef 3:2
Yer. 2:302Nya 36:15, 16; Ne 9:26; Mdo 7:52
Yer. 2:31Kum 32:15
Yer. 2:32Zb 106:21; Isa 17:10; Yer 18:15; Ho. 8:14
Yer. 2:332Nya 33:9
Yer. 2:342Fa 21:16; Zb 106:38; Isa 10:1, 2; Mt 23:35
Yer. 2:34Kut 22:2
Yer. 2:36Isa 30:3; Yer 37:7
Yer. 2:362Nya 28:20, 21
Yer. 2:372Sa 13:19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 2:1-37

Yeremia

2 Neno la Yehova likanijia, likisema: 2 “Nenda ukatangaze masikioni mwa watu wa Yerusalemu, ‘Yehova anasema hivi:

“Ninakumbuka vema bidii yako* ulipokuwa kijana,+

Upendo ulioonyesha ulipochumbiwa ili kuolewa,+

Jinsi ulivyonifuata nyikani,

Katika nchi ambayo haipandwi mbegu.+

 3 Israeli alikuwa mtakatifu kwa Yehova,+ mavuno ya kwanza ya mazao yake.”’

‘Yeyote aliyemrarua alikuwa na hatia.

Msiba ulimpata,’ asema Yehova.”+

 4 Sikieni neno la Yehova, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,

Nanyi familia zote za nyumba ya Israeli.

 5 Yehova anasema hivi:

“Mababu zenu waliona kosa gani kwangu,+

Hivi kwamba wakatangatanga mbali sana nami,

Wakazifuata sanamu za ubatili,+ nao wenyewe wakawa ubatili?+

 6 Hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi,

Yule aliyetutoa nchini Misri,+

Aliyetuongoza kupitia nyikani,

Kupitia nchi yenye majangwa+ na mashimo,

Kupitia nchi yenye ukame+ na kivuli kizito,

Kupitia nchi ambayo hakuna mtu anayesafiri humo

Na ambamo hakuna mwanadamu anayeishi?’

 7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,

Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+

Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;

Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+

 8 Makuhani hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi?’+

Wale wanaoshughulika na Sheria hawakunijua,

Wachungaji waliniasi,+

Manabii walitabiri kupitia Baali,+

Nao wakawafuata wale ambao hawangewafaidi hata kidogo.

 9 ‘Basi nitapambana zaidi nanyi,’+ asema Yehova,

‘Nami nitapambana na wana wa wana wenu.’

10 ‘Lakini vukeni mpaka nchi za pwani za* Kitimu+ mwone.

Naam, tumeni watu Kedari+ nanyi mfikirie kwa uangalifu;

Mwone ikiwa jambo kama hili limewahi kutendeka.

11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu?

Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+

12 Tazameni jambo hili kwa mshangao, enyi mbingu;

Tetemekeni kwa hofu kubwa,’ asema Yehova,

13 ‘Kwa sababu watu wangu wamefanya mambo mawili mabaya:

Wameniacha mimi, chemchemi ya maji yaliyo hai,+

Na kujichimbia* matangi ya maji,

Matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kuhifadhi maji.’

14 ‘Je, Israeli ni mtumishi, au ni mtumwa aliyezaliwa nyumbani?

Basi kwa nini amekuwa kitu cha kuporwa?

15 Wanasimba* wananguruma dhidi yake;+

Wameinua sauti zao.

Waliifanya nchi yake kuwa kitu cha kutisha.

Majiji yake yameteketezwa, hivi kwamba hakuna mkaaji.

16 Watu wa Nofu*+ na Tahpanesi+ wanakula utosi wa kichwa chako.

17 Je, hukujiletea jambo hilo

Kwa kumwacha Yehova Mungu wako+

Alipokuwa akikuongoza njiani?

18 Sasa kwa nini unatamani njia ya kwenda Misri+

Ili kunywa maji ya Shihori?*

Kwa nini unatamani njia ya kwenda Ashuru+

Ili kunywa maji ya ule Mto?*

19 Uovu wako unapaswa kukurekebisha,

Na ukosefu wako wa uaminifu unapaswa kukukaripia.

Jua na utambue ubaya na uchungu+ wa

Kumwacha Yehova Mungu wako;

Hujaniogopa,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi.

20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+

Na kuzikata pingu zako.

Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”

Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+

Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+

21 Nilikupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu safi;

Basi umebadilikaje na kuwa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni mbele zangu?’+

22 ‘Hata ukioga kwa magadi na kutumia sabuni nyingi,

Bado hatia yako itakuwa doa mbele zangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

23 Unawezaje kusema, ‘Sijajichafua.

Sijafuata Mabaali?

Angalia njia yako bondeni.

Fikiria ulichofanya.

Wewe ni kama ngamia jike mchanga anayekimbia kasi,

Anayekimbia huku na huku bila mwelekeo katika njia zake,

24 Punda wa mwituni aliyezoea nyika,

Anayenusa upepo katika tamaa yake.*

Ni nani anayeweza kumzuia anaposhikwa na nyege?

Hakuna yeyote kati ya wale wanaomtafuta atakayelazimika kujichosha.

Watampata katika majira yake.*

25 Izuie miguu yako isitembee bila viatu

Na koo lako lisiwe na kiu.

Lakini ulisema, ‘Hakuna tumaini lolote!+

Hakuna! Nimewapenda wageni,*+

Nami nitawafuata.’+

26 Kama aibu ya mwizi anapokamatwa,

Ndivyo watu wa nyumba ya Israeli walivyoaibishwa,

Wao, wafalme wao na wakuu wao,

Makuhani wao na manabii wao.+

27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+

Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’

Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+

Watakapopatwa na msiba watasema,

‘Simama utuokoe!’+

28 Sasa iko wapi miungu yako uliyojitengenezea?+

Na isimame ikiwa inaweza kukuokoa unapopatwa na msiba.

Kwa maana miungu yako imekuwa mingi kama majiji yako, Ee Yuda.+

29 ‘Kwa nini unaendelea kushindana nami?

Kwa nini nyote mmeniasi?’+ asema Yehova.

30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+

Hawakukubali nidhamu yoyote;+

Upanga wenu wenyewe uliwaangamiza manabii wenu,+

Kama simba anayeshambulia.

31 Enyi kizazi hiki, fikirieni wenyewe neno la Yehova.

Je, nimekuwa kama nyika kwa Israeli

Au nchi yenye giza linalokandamiza?

Kwa nini watu hawa, watu wangu, wamesema, ‘Tunazurura kwa uhuru.

Hatutakuja kwako tena’?+

32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake,

Na bibi harusi mavazi yake ya kifuani?*

Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa siku zisizohesabika.+

33 Ewe mwanamke, jinsi unavyotayarisha njia yako kwa ustadi ili kutafuta upendo!

Umejizoeza katika njia za uovu.+

34 Hata pindo za nguo zako zina madoa ya damu ya maskini* wasio na hatia,+

Ingawa sikuwapata wakivunja ili kuingia;

Imejaa kwenye pindo zako zote.+

35 Lakini unasema, ‘Sina hatia.

Hakika hasira yake imeniondokea.’

Sasa ninaleta hukumu dhidi yako

Kwa sababu unasema, ‘Sijatenda dhambi.’

36 Kwa nini unaiona njia yako isiyo thabiti kuwa jambo dogo?

Utaona aibu kwa sababu ya Misri pia,+

Kama vile ulivyoona aibu kwa sababu ya Ashuru.+

37 Kwa sababu hiyo pia utatoka mikono yako ikiwa juu ya kichwa chako,+

Kwa maana Yehova amewakataa wale unaowategemea;

Hawatakuletea mafanikio.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki