Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Kina cha uasi imani wa Israeli (1-5)

      • Israeli na Yuda wana hatia ya uzinzi (6-11)

      • Mwito wa kutubu (12-25)

Yeremia 3:1

Marejeo

  • +Isa 24:5; Yer 2:7
  • +Yer 2:20; Eze 16:28, 29

Yeremia 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mwarabu.”

Marejeo

  • +Eze 16:16; 20:28

Yeremia 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “paji lenye.”

Marejeo

  • +Law 26:19; Yer 14:4; Amo 4:7
  • +Yer 6:15

Yeremia 3:4

Marejeo

  • +Yer 2:2

Yeremia 3:5

Marejeo

  • +Mik 2:1; 7:3

Yeremia 3:6

Marejeo

  • +2Fa 22:1
  • +Eze 20:28; Ho. 4:13

Yeremia 3:7

Marejeo

  • +2Fa 17:13; 2Nya 30:6; Ho. 14:1
  • +Eze 16:46; 23:2, 4

Yeremia 3:8

Marejeo

  • +Kum 24:1
  • +Eze 23:4, 5, 9; Ho. 2:2; 9:15
  • +2Fa 17:19; Eze 23:4, 11

Yeremia 3:9

Marejeo

  • +Isa 57:5, 6; Yer 2:27

Yeremia 3:11

Marejeo

  • +Eze 16:51; 23:4, 11

Yeremia 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Sitaufanya uso wangu uanguke juu yako.”

Marejeo

  • +2Fa 17:6; Yer 23:8
  • +Yer 4:1; Eze 33:11; Ho. 14:1
  • +Ho. 11:8, 9

Yeremia 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njia zako.”

  • *

    Au “miungu ya kigeni.”

Yeremia 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mume wenu.”

Marejeo

  • +Yer 23:3

Yeremia 3:15

Marejeo

  • +Yer 23:4; Eze 34:23

Yeremia 3:16

Marejeo

  • +Ho. 1:10

Yeremia 3:17

Marejeo

  • +Zb 87:3; Eze 43:7
  • +Isa 2:2, 3; 56:6, 7; 60:3; Mik 4:1, 2; Zek 2:11; 8:22, 23

Yeremia 3:18

Marejeo

  • +Yer 50:4; Eze 37:19; Ho. 1:11
  • +2Nya 36:23; Ezr 1:3; Amo 9:15

Yeremia 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “majeshi ya mataifa.”

Marejeo

  • +Eze 20:6

Yeremia 3:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenzake.”

Marejeo

  • +Isa 48:8; Ho. 3:1; 5:7

Yeremia 3:21

Marejeo

  • +Isa 17:10; Ho. 8:14; 13:6

Yeremia 3:22

Marejeo

  • +Ho. 14:1, 4
  • +Yer 31:18; Ho. 3:5

Yeremia 3:23

Marejeo

  • +Isa 65:7
  • +Isa 12:2

Yeremia 3:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mungu wa aibu amekula.”

Marejeo

  • +Ho. 9:10

Yeremia 3:25

Marejeo

  • +Yer 2:19
  • +Ezr 9:7; Zb 106:7

Jumla

Yer. 3:1Isa 24:5; Yer 2:7
Yer. 3:1Yer 2:20; Eze 16:28, 29
Yer. 3:2Eze 16:16; 20:28
Yer. 3:3Law 26:19; Yer 14:4; Amo 4:7
Yer. 3:3Yer 6:15
Yer. 3:4Yer 2:2
Yer. 3:5Mik 2:1; 7:3
Yer. 3:62Fa 22:1
Yer. 3:6Eze 20:28; Ho. 4:13
Yer. 3:72Fa 17:13; 2Nya 30:6; Ho. 14:1
Yer. 3:7Eze 16:46; 23:2, 4
Yer. 3:8Kum 24:1
Yer. 3:8Eze 23:4, 5, 9; Ho. 2:2; 9:15
Yer. 3:82Fa 17:19; Eze 23:4, 11
Yer. 3:9Isa 57:5, 6; Yer 2:27
Yer. 3:11Eze 16:51; 23:4, 11
Yer. 3:12Yer 4:1; Eze 33:11; Ho. 14:1
Yer. 3:12Ho. 11:8, 9
Yer. 3:122Fa 17:6; Yer 23:8
Yer. 3:14Yer 23:3
Yer. 3:15Yer 23:4; Eze 34:23
Yer. 3:16Ho. 1:10
Yer. 3:17Zb 87:3; Eze 43:7
Yer. 3:17Isa 2:2, 3; 56:6, 7; 60:3; Mik 4:1, 2; Zek 2:11; 8:22, 23
Yer. 3:18Yer 50:4; Eze 37:19; Ho. 1:11
Yer. 3:182Nya 36:23; Ezr 1:3; Amo 9:15
Yer. 3:19Eze 20:6
Yer. 3:20Isa 48:8; Ho. 3:1; 5:7
Yer. 3:21Isa 17:10; Ho. 8:14; 13:6
Yer. 3:22Ho. 14:1, 4
Yer. 3:22Yer 31:18; Ho. 3:5
Yer. 3:23Isa 65:7
Yer. 3:23Isa 12:2
Yer. 3:24Ho. 9:10
Yer. 3:25Yer 2:19
Yer. 3:25Ezr 9:7; Zb 106:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 3:1-25

Yeremia

3 Watu huuliza: “Mtu akimfukuza mke wake naye aondoke na kuchukuliwa na mwanamume mwingine, je, mtu huyo anapaswa kumrudia tena?”

Je, nchi hiyo haijachafuliwa kabisa?+

“Umefanya ukahaba na marafiki wengi,+

Na je, sasa unapaswa kurudi kwangu?” asema Yehova.

 2 “Inua macho yako kuelekea vilima vitupu uone.

Ni wapi ambapo hukubakwa?

Ulikaa kando ya barabara kwa ajili yao,

Kama mtu anayehamahama* nyikani.

Unaendelea kuichafua nchi

Kwa ukahaba wako na uovu wako.+

 3 Kwa hiyo manyunyu ya mvua yamezuiwa,+

Na hakuna mvua ya masika.

Una uso wenye* ushupavu kama mwanamke anayefanya ukahaba;

Umekataa kuona aibu.+

 4 Lakini sasa unaniambia kwa sauti kubwa,

‘Baba yangu, wewe ni rafiki yangu tangu ujana wangu!+

 5 Je, mtu anapaswa kuendelea kuwa na uchungu milele,

Au kuwa na kinyongo sikuzote?’

Unasema hivyo,

Lakini unaendelea kufanya mambo yote maovu unayoweza kufanya.”+

6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+ 7 Hata baada ya kufanya mambo hayo yote, niliendelea kumwambia arudi kwangu,+ lakini hakurudi; na Yuda akaendelea kumtazama dada yake mwenye hila.+ 8 Nilipoona hivyo, nikamfukuza Israeli asiye mwaminifu akiwa na cheti kamili cha talaka+ kwa sababu ya uzinzi wake.+ Lakini Yuda dada yake mwenye hila hakuogopa; yeye pia alienda na kufanya ukahaba.+ 9 Aliona ukahaba wake kuwa jambo dogo, naye akaendelea kuichafua nchi na kufanya uzinzi na mawe na miti.+ 10 Licha ya hayo yote, Yuda dada yake mwenye hila hakurudi kwangu kwa moyo wake wote, bali kwa kujifanya tu,’ asema Yehova.”

11 Kisha Yehova akaniambia: “Israeli asiye mwaminifu amekuwa mwadilifu kuliko Yuda mwenye hila.+ 12 Nenda uitangazie kaskazini maneno haya:+

“‘“Rudi, Ee Israeli mwasi,” asema Yehova.’+ ‘“Sitakutazama kwa hasira,*+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,” asema Yehova.’ ‘“Sitaendelea kuwa na kinyongo milele. 13 Ila tu ukubali hatia yako, kwa maana umemwasi Yehova Mungu wako. Uliendelea kutawanya wema wako* kwa wageni* chini ya kila mti wenye majani mengi, lakini hukuitii sauti yangu,” asema Yehova.’”

14 “Rudini, enyi wana waasi,” asema Yehova. “Kwa maana nimekuwa bwana wenu* wa kweli; nami nitawachukua, mmoja kutoka katika jiji moja na wawili kutoka katika familia moja, nami nitawaleta Sayuni.+ 15 Nami nitawapa wachungaji wanaoupendeza moyo wangu,+ nao watawalisha kwa ujuzi na ufahamu. 16 Mtakuwa wengi nanyi mtazaa matunda nchini siku hizo,” asema Yehova.+ “Hawatasema tena, ‘Sanduku la agano la Yehova!’ Halitaingia moyoni, wala hawatalikumbuka au kulitamani, nalo halitatengenezwa tena. 17 Wakati huo wataliita Yerusalemu kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yatakusanywa pamoja kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena kwa ukaidi moyo wao mwovu.”

18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+ 19 Nami nilifikiri, ‘Jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi inayotamanika, urithi maridadi zaidi kati ya mataifa!’*+ Pia nilifikiri mtaniita ‘Baba yangu!’ na kwamba hamtageuka na kuacha kunifuata.’ 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mume wake* kwa hila, ninyi pia, enyi watu wa nyumba ya Israeli, mmenitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”

21 Sauti imesikika kwenye vilima vilivyo vitupu,

Kulia na kusihi kwa watu wa Israeli,

Kwa maana wameipotosha njia yao;

Wamemsahau Yehova Mungu wao.+

22 “Rudini, ninyi wana waasi.

Nitaiponya hali yenu ya uasi.”+

“Tupo hapa! Tumekuja kwako,

Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni Mungu wetu.+

23 Kwa kweli vilima na machafuko juu ya milima ni udanganyifu.+

Kwa kweli wokovu wa Israeli uko kwa Yehova Mungu wetu.+

24 Lakini jambo la aibu limekula* kazi ngumu ya mababu zetu tangu ujana wetu,+

Makundi yao na mifugo yao,

Wana wao na mabinti wao.

25 Na tulale chini katika aibu yetu,

Fedheha yetu na itufunike,

Kwa maana tumemtendea dhambi Yehova Mungu wetu,+

Sisi na baba zetu tangu ujana wetu mpaka leo hii,+

Nasi hatujaitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki