-
Yeremia 50:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Mshambulieni Babiloni mkiwa mmejipanga kivita kila upande,
Ninyi nyote mnaoupinda* upinde.
-
-
Danieli 5:26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
26 “Hii ndiyo maana ya maneno hayo: MENE, Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha.+
-
-
Danieli 5:30Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+
-