Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 60
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu huwatiisha maadui

        • Wokovu kutoka kwa wanadamu hauna faida yoyote (11)

        • “Kwa msaada wa Mungu tutapata nguvu” (12)

Zaburi 60:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Sa 8:13; 1Nya 18:3

Zaburi 60:1

Marejeo

  • +Zb 60:10

Zaburi 60:3

Marejeo

  • +Isa 51:17

Zaburi 60:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Umewapa.”

Zaburi 60:5

Marejeo

  • +Zb 18:35; 21:8; 108:6; 118:15; Isa 41:10

Zaburi 60:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mahali pake patakatifu.”

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +Mwa 12:6, 7
  • +Yos 13:27, 28; Zb 108:7-9

Zaburi 60:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ngome ya.”

Marejeo

  • +Yos 13:29-31
  • +Mwa 49:10

Zaburi 60:8

Marejeo

  • +Hes 24:17; 2Sa 8:2
  • +Hes 24:18; 2Sa 8:14
  • +2Sa 8:1

Zaburi 60:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “lenye ngome.”

Marejeo

  • +2Sa 8:14; Zb 108:10-13

Zaburi 60:10

Marejeo

  • +Kum 1:42; 20:4; Yos 7:12

Zaburi 60:11

Marejeo

  • +Zb 62:9; 118:8; 146:3

Zaburi 60:12

Marejeo

  • +Zb 18:32
  • +2Sa 10:12; Zb 44:5

Jumla

Zab. 60:utangulizi2Sa 8:13; 1Nya 18:3
Zab. 60:1Zb 60:10
Zab. 60:3Isa 51:17
Zab. 60:5Zb 18:35; 21:8; 108:6; 118:15; Isa 41:10
Zab. 60:6Mwa 12:6, 7
Zab. 60:6Yos 13:27, 28; Zb 108:7-9
Zab. 60:7Yos 13:29-31
Zab. 60:7Mwa 49:10
Zab. 60:8Hes 24:17; 2Sa 8:2
Zab. 60:8Hes 24:18; 2Sa 8:14
Zab. 60:82Sa 8:1
Zab. 60:92Sa 8:14; Zb 108:10-13
Zab. 60:10Kum 1:42; 20:4; Yos 7:12
Zab. 60:11Zb 62:9; 118:8; 146:3
Zab. 60:12Zb 18:32
Zab. 60:122Sa 10:12; Zb 44:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 60:1-12

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Yungiyungi la Kikumbusho.” Miktamu.* Wa Daudi. Wa kufundisha. Alipopigana na Aram-naharaimu na Aram-Soba, kisha Yoabu akarudi na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.+

60 Ee Mungu, ulitukataa; ulipenya katika vikosi vyetu vya ulinzi.+

Ulitukasirikia; lakini sasa tupokee tena!

 2 Uliifanya dunia itetemeke; uliipasua ikafunguka.

Ziba nyufa zake, kwa maana inaporomoka.

 3 Uliwafanya watu wako wateseke.

Ulitufanya tunywe divai inayosababisha tuyumbeyumbe.+

 4 Wape* ishara wale wanaokuogopa

Wakimbie na kuukwepa upinde. (Sela)

 5 Ili wapendwa wako waokolewe,

Tuokoe kwa mkono wako wa kuume na utujibu.+

 6 Mungu ameongea katika utakatifu wake:*

“Nitashangilia, nitawagawia Shekemu kuwa urithi,+

Nami nitawapimia Bonde la* Sukothi.+

 7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu,+

Na Efraimu ni kofia ya kukinga* kichwa changu;

Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+

 8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+

Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+

Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+

 9 Ni nani atakayenipeleka kwenye jiji lililozingirwa?*

Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?+

10 Je, si wewe, Ee Mungu, ambaye umetukataa,

Mungu wetu, ambaye haendi tena na majeshi yetu?+

11 Tusaidie katika taabu yetu,

Kwa maana wokovu kutoka kwa wanadamu hauna faida yoyote.+

12 Kwa msaada wa Mungu tutapata nguvu,+

Naye atawakanyagia chini maadui wetu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki