Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kutangaza kazi za Mungu zinazostaajabisha

        • Yehova ni kimbilio salama (9)

        • Kulijua jina la Mungu humaanisha kumtumaini yeye (10)

Zaburi 9:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 9:1

Marejeo

  • +1Nya 16:12; 29:11; Ufu 4:11

Zaburi 9:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitalipigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 28:7

Zaburi 9:3

Marejeo

  • +Zb 56:9

Zaburi 9:4

Marejeo

  • +Zb 89:14; 1Pe 2:23

Zaburi 9:5

Marejeo

  • +Kum 9:4

Zaburi 9:6

Marejeo

  • +Kum 25:19

Zaburi 9:7

Marejeo

  • +Zb 90:2; 1Ti 1:17
  • +Ro 14:10; Ufu 20:11

Zaburi 9:8

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Zb 85:11; Isa 26:9
  • +Zb 96:13; 98:9; Mdo 17:31

Zaburi 9:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele salama.”

Marejeo

  • +Zb 91:2
  • +Zb 46:1; 54:7

Zaburi 9:10

Marejeo

  • +Zb 91:14; Met 18:10; Yer 16:21
  • +2Nya 20:12; Zb 25:15; 2Ko 1:10

Zaburi 9:11

Marejeo

  • +Zb 96:10; 107:19, 22; Isa 12:3, 4

Zaburi 9:12

Marejeo

  • +Mwa 4:9, 10; 9:5; Kum 32:43; 2Fa 9:24, 26; 24:3, 4; Lu 11:49-51
  • +Kut 3:7; Zb 72:13, 14; Lu 18:7

Zaburi 9:13

Marejeo

  • +Zb 30:3; Isa 38:9, 10; Ufu 1:17, 18

Zaburi 9:14

Marejeo

  • +Yer 17:19, 20
  • +Zb 13:5; 20:5

Zaburi 9:15

Marejeo

  • +Kum 32:35; Met 5:22

Zaburi 9:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kut 14:4; Yos 2:10; 2Fa 19:19
  • +Met 26:27; Isa 3:11

Zaburi 9:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Zaburi 9:18

Marejeo

  • +Zb 12:5; 72:4
  • +Zb 10:17; Mt 5:5

Zaburi 9:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele za uwepo wako.”

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Zb 82:8

Zaburi 9:20

Marejeo

  • +Kut 15:16; 23:27

Jumla

Zab. 9:11Nya 16:12; 29:11; Ufu 4:11
Zab. 9:2Zb 28:7
Zab. 9:3Zb 56:9
Zab. 9:4Zb 89:14; 1Pe 2:23
Zab. 9:5Kum 9:4
Zab. 9:6Kum 25:19
Zab. 9:7Zb 90:2; 1Ti 1:17
Zab. 9:7Ro 14:10; Ufu 20:11
Zab. 9:8Mwa 18:25; Zb 85:11; Isa 26:9
Zab. 9:8Zb 96:13; 98:9; Mdo 17:31
Zab. 9:9Zb 91:2
Zab. 9:9Zb 46:1; 54:7
Zab. 9:10Zb 91:14; Met 18:10; Yer 16:21
Zab. 9:102Nya 20:12; Zb 25:15; 2Ko 1:10
Zab. 9:11Zb 96:10; 107:19, 22; Isa 12:3, 4
Zab. 9:12Mwa 4:9, 10; 9:5; Kum 32:43; 2Fa 9:24, 26; 24:3, 4; Lu 11:49-51
Zab. 9:12Kut 3:7; Zb 72:13, 14; Lu 18:7
Zab. 9:13Zb 30:3; Isa 38:9, 10; Ufu 1:17, 18
Zab. 9:14Yer 17:19, 20
Zab. 9:14Zb 13:5; 20:5
Zab. 9:15Kum 32:35; Met 5:22
Zab. 9:16Kut 14:4; Yos 2:10; 2Fa 19:19
Zab. 9:16Met 26:27; Isa 3:11
Zab. 9:18Zb 12:5; 72:4
Zab. 9:18Zb 10:17; Mt 5:5
Zab. 9:19Mwa 18:25; Zb 82:8
Zab. 9:20Kut 15:16; 23:27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 9:1-20

Zaburi

Kwa kiongozi; juu ya Muth-labeni.* Muziki wa Daudi.

א [Aleph]

9 Nitakusifu, Ee Yehova, kwa moyo wangu wote;

Nitasimulia kuhusu kazi zako zote zinazostaajabisha.+

 2 Nitafurahi na kushangilia kwa sababu yako;

Nitaliimbia sifa* jina lako, Ee Uliye Juu Zaidi.+

ב [Beth]

 3 Maadui wangu wanapokimbia,+

Watajikwaa na kuangamia kutoka mbele zako.

 4 Kwa maana unatetea njia yangu ya haki;

Unaketi kwenye kiti chako cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+

ג [Gimel]

 5 Umeyakemea mataifa+ na kuwaangamiza waovu,

Na hivyo kulifuta jina lao milele na milele.

 6 Maadui wameangamizwa milele;

Uliyang’oa majiji yao,

Na kumbukumbu lote kuwahusu litatoweka.+

ה [He]

 7 Lakini Yehova ameketi kwenye kiti cha ufalme milele;+

Amekiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme kwa ajili ya haki.+

 8 Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa;+

Atayahukumu mataifa kwa kutoa maamuzi ya uadilifu.+

ו [Waw]

 9 Yehova atakuwa kimbilio salama* kwa wanaokandamizwa,+

Kimbilio salama katika nyakati za taabu.+

10 Wale wanaolijua jina lako watakutumaini wewe;+

Hutawaacha kamwe wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+

ז [Zayin]

11 Mwimbieni sifa Yehova, anayekaa Sayuni;

Tangazeni matendo yake miongoni mwa mataifa.+

12 Kwa maana Yule anayelipiza kisasi kwa ajili ya damu yao anawakumbuka;+

Hatasahau kilio cha wanaoteseka.+

ח [Heth]

13 Nionyeshe kibali, Ee Yehova; angalia ninavyoteswa na wale wanaonichukia,

Wewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+

14 Ili nitangaze katika malango ya binti ya Sayuni matendo yako yanayostahili sifa,+

Na kushangilia kwa sababu ya matendo yako ya wokovu.+

ט [Teth]

15 Mataifa yamezama chini katika shimo walilochimba;

Mguu wao wenyewe umenaswa katika wavu waliouficha.+

16 Yehova anajulikana kwa hukumu anazotekeleza.+

Mwovu amenaswa katika kazi za mikono yake mwenyewe.+

Higayoni.* (Sela)

י [Yod]

17 Waovu watageuka na kuelekea Kaburini,*

Mataifa yote yanayomsahau Mungu.

18 Lakini maskini hawatasahauliwa daima;+

Wala tumaini la wapole halitapotea kamwe.+

כ [Kaph]

19 Inuka, Ee Yehova! Usiache mwanadamu anayeweza kufa ashinde.

Mataifa na yahukumiwe mbele zako.*+

20 Wapige kwa woga, Ee Yehova,+

Acha mataifa yajue kwamba wao ni wanadamu tu wanaoweza kufa. (Sela)

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki