Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Elihu atetea haki ya Mungu na njia zake (1-37)

        • Ayubu asema kwamba Mungu alimnyima haki (5)

        • Mungu wa kweli hawezi kamwe kutenda uovu (10)

        • Ayubu hana ujuzi (35)

Ayubu 34:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kaakaa linavyoonja.”

Ayubu 34:5

Marejeo

  • +Ayu 29:14; 33:9
  • +Ayu 27:2

Ayubu 34:6

Marejeo

  • +Ayu 9:17, 18

Ayubu 34:8

Marejeo

  • +Met 1:10, 15; 4:14

Ayubu 34:9

Marejeo

  • +Ayu 9:22-24; 35:3

Ayubu 34:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo.”

Marejeo

  • +Mwa 18:25; 2Nya 19:7; Zb 92:15
  • +Kum 32:4; Ro 9:14; Ebr 6:10

Ayubu 34:11

Marejeo

  • +1Nya 28:9; Zb 62:12; Met 24:12; Yer 32:19; Eze 33:20; Ro 2:6; 2Ko 5:10; Gal 6:7; 1Pe 1:17; Ufu 22:12

Ayubu 34:12

Marejeo

  • +Yak 1:13
  • +Zb 89:14; 97:2; 99:4; Ro 2:11

Ayubu 34:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dunia inayokaliwa.”

Ayubu 34:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo wake.”

Marejeo

  • +Zb 104:29; Mhu 12:7; Isa 42:5; Mdo 17:25

Ayubu 34:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Miili yote itaangamia.”

Marejeo

  • +Mwa 3:19; Zb 146:4; Mhu 3:20

Ayubu 34:18

Marejeo

  • +Kut 22:28; Mhu 8:2-4; 10:20

Ayubu 34:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watu maarufu na kuwapuuza watu wa hali ya chini.”

Marejeo

  • +Kum 10:17; 2Nya 19:7; Mdo 10:34; Ro 2:11; Efe 6:9
  • +Ayu 31:13-15; Met 22:2

Ayubu 34:20

Marejeo

  • +Zb 73:3, 19; Mdo 12:21-23
  • +Kut 12:29; Da 5:30
  • +1Sa 25:38

Ayubu 34:21

Marejeo

  • +Mwa 6:5; 2Nya 16:9; Ayu 31:4; Met 5:21; 15:3; Yer 16:17; 32:19; 1Pe 3:12

Ayubu 34:22

Marejeo

  • +Zb 139:11, 12; Isa 29:15; Yer 23:24; Amo 9:3; Ebr 4:13

Ayubu 34:24

Marejeo

  • +Eze 21:26, 27; Da 2:21; 4:25

Ayubu 34:25

Marejeo

  • +Ho. 7:2
  • +1Sa 4:17; Da 5:30

Ayubu 34:26

Marejeo

  • +Hes 12:10

Ayubu 34:27

Marejeo

  • +1Sa 15:11
  • +Zb 28:5

Ayubu 34:28

Marejeo

  • +Kut 22:22, 23; Yak 5:4

Ayubu 34:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwasi imani.”

Marejeo

  • +Ayu 13:16; 27:8

Ayubu 34:31

Marejeo

  • +Da 9:7; Ro 3:23

Ayubu 34:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo.”

Ayubu 34:35

Marejeo

  • +Ayu 35:16; 38:2; 42:3

Ayubu 34:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Baba yangu, acha Ayubu ajaribiwe.”

Ayubu 34:37

Marejeo

  • +Ayu 10:1; 19:6
  • +Ayu 35:2

Jumla

Ayu. 34:5Ayu 29:14; 33:9
Ayu. 34:5Ayu 27:2
Ayu. 34:6Ayu 9:17, 18
Ayu. 34:8Met 1:10, 15; 4:14
Ayu. 34:9Ayu 9:22-24; 35:3
Ayu. 34:10Mwa 18:25; 2Nya 19:7; Zb 92:15
Ayu. 34:10Kum 32:4; Ro 9:14; Ebr 6:10
Ayu. 34:111Nya 28:9; Zb 62:12; Met 24:12; Yer 32:19; Eze 33:20; Ro 2:6; 2Ko 5:10; Gal 6:7; 1Pe 1:17; Ufu 22:12
Ayu. 34:12Yak 1:13
Ayu. 34:12Zb 89:14; 97:2; 99:4; Ro 2:11
Ayu. 34:14Zb 104:29; Mhu 12:7; Isa 42:5; Mdo 17:25
Ayu. 34:15Mwa 3:19; Zb 146:4; Mhu 3:20
Ayu. 34:18Kut 22:28; Mhu 8:2-4; 10:20
Ayu. 34:19Kum 10:17; 2Nya 19:7; Mdo 10:34; Ro 2:11; Efe 6:9
Ayu. 34:19Ayu 31:13-15; Met 22:2
Ayu. 34:20Zb 73:3, 19; Mdo 12:21-23
Ayu. 34:20Kut 12:29; Da 5:30
Ayu. 34:201Sa 25:38
Ayu. 34:21Mwa 6:5; 2Nya 16:9; Ayu 31:4; Met 5:21; 15:3; Yer 16:17; 32:19; 1Pe 3:12
Ayu. 34:22Zb 139:11, 12; Isa 29:15; Yer 23:24; Amo 9:3; Ebr 4:13
Ayu. 34:24Eze 21:26, 27; Da 2:21; 4:25
Ayu. 34:25Ho. 7:2
Ayu. 34:251Sa 4:17; Da 5:30
Ayu. 34:26Hes 12:10
Ayu. 34:271Sa 15:11
Ayu. 34:27Zb 28:5
Ayu. 34:28Kut 22:22, 23; Yak 5:4
Ayu. 34:30Ayu 13:16; 27:8
Ayu. 34:31Da 9:7; Ro 3:23
Ayu. 34:35Ayu 35:16; 38:2; 42:3
Ayu. 34:37Ayu 10:1; 19:6
Ayu. 34:37Ayu 35:2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 34:1-37

Ayubu

34 Kwa hiyo, Elihu akaendelea kusema:

 2 “Sikilizeni maneno yangu, ninyi mlio na hekima;

Nisikilizeni, ninyi mnaojua mambo mengi sana.

 3 Kwa maana sikio hupima maneno

Kama ulimi unavyoonja* chakula.

 4 Acheni tuchanganue wenyewe yaliyo sawa;

Acheni tuamue miongoni mwetu yaliyo mema.

 5 Kwa maana Ayubu amesema, ‘Sijakosea,+

Lakini Mungu ameninyima haki.+

 6 Je, ninaweza kusema uwongo kuhusu hukumu ninayostahili?

Kidonda changu hakiponi, ingawa sina kosa.’+

 7 Ni nani aliye kama Ayubu,

Anayekunywa dharau kama maji?

 8 Yeye ni rafiki ya watenda dhambi

Naye hushirikiana na waovu.+

 9 Kwa maana amesema, ‘Mwanadamu hafaidiki

Kwa kujitahidi kumpendeza Mungu.’+

10 Kwa hiyo nisikilizeni, ninyi watu wenye uelewaji:*

Mungu wa kweli hawezi kamwe kuwazia kutenda uovu,+

Na Mweza-Yote hawezi kamwe kutenda kosa!+

11 Kwa maana atamlipa mwanadamu kulingana na matendo yake+

Na kumletea matokeo ya njia zake.

12 Kwa hakika, Mungu hatendi uovu;+

Mweza-Yote hapotoshi haki.+

13 Ni nani aliyempa mamlaka ya kusimamia dunia,

Na ni nani aliyemweka asimamie ulimwengu mzima?*

14 Akiwakazia fikira,*

Akijikusanyia roho yao na pumzi yao,+

15 Wanadamu wote wataangamia* pamoja,

Nao watarudi mavumbini.+

16 Basi ikiwa mna uelewaji, sikilizeni mambo haya;

Sikilizeni kwa makini ninayosema.

17 Je, mtu anayechukia haki anapaswa kuongoza,

Au je, mtamhukumu mwenye nguvu ambaye ni mwadilifu?

18 Je, mtamwambia mfalme, ‘Wewe hufai kitu,’

Au viongozi, ‘Ninyi ni waovu’?+

19 Kuna Yule asiyewapendelea wakuu

Na ambaye hawapendelei matajiri na kuwapuuza maskini,*+

Kwa maana wote ni kazi ya mikono yake.+

20 Wanaweza kufa ghafla,+ katikati ya usiku;+

Wanatikisika kwa nguvu na kufa;

Hata wenye nguvu huondolewa, lakini si kwa mikono ya wanadamu.+

21 Kwa maana macho ya Mungu hutazama njia za mwanadamu,+

Naye huziona hatua zake zote.

22 Hakuna giza wala kivuli kizito

Ambamo watenda maovu wanaweza kujificha.+

23 Kwa maana Mungu hajaweka wakati hususa wa mwanadamu yeyote

Kufika mbele zake ili ahukumiwe.

24 Huwapondaponda wenye nguvu bila kuhitaji kufanya uchunguzi

Na kuwaweka wengine mahali pao.+

25 Kwa maana anajua wanayofanya;+

Huwapindua wakati wa usiku, nao huangamizwa.+

26 Huwapiga kwa sababu ya uovu wao,

Mahali ambapo watu wote wanaweza kuona,+

27 Kwa sababu wameacha kumfuata+

Nao hawaheshimu yoyote kati ya njia zake;+

28 Wanasababisha maskini wamlilie,

Hivi kwamba anasikia kilio cha wasio na uwezo.+

29 Mungu akikaa kimya, ni nani anayeweza kumshutumu?

Akiuficha uso wake, ni nani anayeweza kumwona?

Iwe ni kwa taifa au mtu mmoja, matokeo ni yaleyale,

30 Ili mtu anayemkataa Mungu* asitawale+

Au kuwawekea wengine mitego.

31 Je, kuna yeyote anayeweza kumwambia Mungu,

‘Nimeadhibiwa, ingawa sijafanya kosa lolote;+

32 Nifundishe jambo ambalo nimeshindwa kuona;

Ikiwa nimetenda kosa lolote, sitalirudia tena’?

33 Je, akuthawabishe kwa masharti yako wakati unakataa hukumu yake?

Amua mwenyewe, si mimi.

Basi niambie mambo unayojua vema.

34 Watu wenye uelewaji* wataniambia

—Mtu yeyote mwenye hekima anayenisikiliza—

35 ‘Ayubu anazungumza bila ujuzi,+

Na maneno yake hayana ufahamu.’

36 Acha Ayubu ajaribiwe* kikamili

Kwa sababu majibu yake ni kama ya watu waovu!

37 Anaongeza uasi kwenye dhambi yake;+

Anapiga makofi kwa dharau mbele yetu

Na kusema maneno mengi dhidi ya Mungu wa kweli!”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki