Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mwadilifu humwogopa Yehova

        • Mtu anayekopesha kwa ukarimu atafanikiwa (5)

        • “Mwadilifu atakumbukwa milele” (6)

        • Mtu mkarimu huwapa maskini (9)

Zaburi 112:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Kut 15:2; Ufu 19:1
  • +Zb 111:10
  • +Zb 1:1, 2; 40:8

Zaburi 112:2

Marejeo

  • +Zb 25:12, 13; 37:25, 26

Zaburi 112:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

Marejeo

  • +Zb 97:11; 1Pe 2:9
  • +Lu 6:36; Efe 4:32

Zaburi 112:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “fadhili.”

Marejeo

  • +Kum 15:7, 8; Zb 41:1; Met 19:17; Lu 6:34, 35; Mdo 20:35; Ebr 13:16

Zaburi 112:6

Marejeo

  • +Zb 15:5; 125:1
  • +Ne 5:19; Met 10:7

Zaburi 112:7

Marejeo

  • +Zb 27:1; Met 3:25
  • +Zb 62:8; Isa 26:3

Zaburi 112:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni thabiti; ni imara.”

Marejeo

  • +Met 28:1
  • +Zb 59:10

Zaburi 112:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa ukarimu.”

  • *

    Tnn., “Pembe yake mwenyewe itakwezwa.”

Marejeo

  • +Kum 15:11; Met 11:24; 19:17
  • +Kum 24:12, 13; 2Ko 9:9; Ebr 6:10

Zaburi 112:10

Marejeo

  • +Met 11:7

Jumla

Zab. 112:1Kut 15:2; Ufu 19:1
Zab. 112:1Zb 111:10
Zab. 112:1Zb 1:1, 2; 40:8
Zab. 112:2Zb 25:12, 13; 37:25, 26
Zab. 112:4Zb 97:11; 1Pe 2:9
Zab. 112:4Lu 6:36; Efe 4:32
Zab. 112:5Kum 15:7, 8; Zb 41:1; Met 19:17; Lu 6:34, 35; Mdo 20:35; Ebr 13:16
Zab. 112:6Zb 15:5; 125:1
Zab. 112:6Ne 5:19; Met 10:7
Zab. 112:7Zb 27:1; Met 3:25
Zab. 112:7Zb 62:8; Isa 26:3
Zab. 112:8Met 28:1
Zab. 112:8Zb 59:10
Zab. 112:9Kum 15:11; Met 11:24; 19:17
Zab. 112:9Kum 24:12, 13; 2Ko 9:9; Ebr 6:10
Zab. 112:10Met 11:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 112:1-10

Zaburi

112 Msifuni Yah!*+

א [Aleph]

Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

ב [Beth]

Anayependezwa sana na amri zake.+

ג [Gimel]

 2 Wazao wake watakuwa wenye nguvu duniani,

ד [Daleth]

Na kizazi cha mtu mnyoofu kitabarikiwa.+

ה [He]

 3 Nyumbani mwake mna mali na utajiri,

ו [Waw]

Na uadilifu wake unadumu milele.

ז [Zayin]

 4 Yeye humwangazia mnyoofu kama nuru gizani.+

ח [Heth]

Ni mwenye huruma* na mwenye rehema+ na ni mwadilifu.

ט [Teth]

 5 Mambo humwendea vema mtu anayekopesha kwa ukarimu.*+

י [Yod]

Hufanya mambo yake kwa haki.

כ [Kaph]

 6 Hatatikiswa kamwe.+

ל [Lamed]

Mwadilifu atakumbukwa milele.+

מ [Mem]

 7 Hataogopa habari mbaya.+

נ [Nun]

Moyo wake ni imara, unamtumaini Yehova.+

ס [Samekh]

 8 Moyo wake hauwezi kutikiswa;* haogopi;+

ע [Ayin]

Hatimaye atawatazama maadui wake wakishindwa.+

פ [Pe]

 9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+

צ [Tsade]

Uadilifu wake unadumu milele.+

ק [Qoph]

Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.

ר [Resh]

10 Mwovu ataona na kukasirika.

ש [Shin]

Atasaga meno yake na kuyeyuka.

ת [Taw]

Tamaa za mwovu zitaangamia.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki