Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Ayubu ajibu (1-14)

        • “Jinsi mlivyomsaidia mtu asiye na uwezo!” (1-4)

        • ‘Mungu anaining’iniza dunia mahali pasipo na kitu’ (7)

        • ‘Ni kingo tu za njia za Mungu’ (14)

Ayubu 26:2

Marejeo

  • +Ayu 16:2, 3

Ayubu 26:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa wingi.”

  • *

    Au “akili yenu.”

Marejeo

  • +Ayu 12:2; 17:10

Ayubu 26:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ni pumzi (roho) ya nani iliyotoka kwenu?”

Ayubu 26:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Au “Abadoni.”

Marejeo

  • +Zb 139:8; Ebr 4:13

Ayubu 26:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hutandaza kaskazini.”

  • *

    Au “kwenye eneo tupu.”

Marejeo

  • +Ayu 9:8; Zb 104:2; Isa 42:5

Ayubu 26:8

Marejeo

  • +Met 30:4; Mhu 11:3

Ayubu 26:9

Marejeo

  • +Zb 97:2

Ayubu 26:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “duara.”

Marejeo

  • +Met 8:27; Yer 5:22

Ayubu 26:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Rahabu.”

Marejeo

  • +Zb 74:13; Isa 51:15
  • +Ayu 9:13

Ayubu 26:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “upepo wake.”

  • *

    Au “anayenyiririka.”

Ayubu 26:14

Marejeo

  • +Zb 92:5; Mhu 3:11; Isa 55:9
  • +Ayu 37:5

Jumla

Ayu. 26:2Ayu 16:2, 3
Ayu. 26:3Ayu 12:2; 17:10
Ayu. 26:6Zb 139:8; Ebr 4:13
Ayu. 26:7Ayu 9:8; Zb 104:2; Isa 42:5
Ayu. 26:8Met 30:4; Mhu 11:3
Ayu. 26:9Zb 97:2
Ayu. 26:10Met 8:27; Yer 5:22
Ayu. 26:12Zb 74:13; Isa 51:15
Ayu. 26:12Ayu 9:13
Ayu. 26:14Zb 92:5; Mhu 3:11; Isa 55:9
Ayu. 26:14Ayu 37:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 26:1-14

Ayubu

26 Ayubu akajibu:

2 “Jinsi mlivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi mlivyouokoa mkono usio na nguvu!+

 3 Kwa kweli mmempa ushauri bora mtu asiye na hekima!+

Jinsi mlivyofunua waziwazi* hekima yenu inayotumika!*

 4 Mnajaribu kumfundisha nani,

Na ni nani aliyewaongoza mseme mambo kama hayo?*

 5 Wale waliokufa ambao hawana uwezo hutetemeka;

Wako chini hata kuliko maji na viumbe wanaokaa ndani yake.

 6 Kaburi* liko uchi mbele za Mungu,+

Na mahali pa maangamizi* hapajafunikwa.

 7 Hulitandaza anga la kaskazini* mahali pasipo na kitu,*+

Na kuining’iniza dunia mahali pasipo na kitu;

 8 Huyafunga maji katika mawingu yake,+

Ili mawingu yasipasuke kwa sababu ya uzito wake;

 9 Hufunika kiti chake cha ufalme ili kisionekane,

Na kutandaza wingu lake juu yake.+

10 Huchora upeo* juu ya maji;+

Huweka mpaka kati ya nuru na giza.

11 Nguzo zenyewe za mbingu hutikisika;

Nazo hushtushwa na kemeo lake.

12 Huitibua bahari kwa nguvu zake,+

Na kwa uelewaji wake humvunja vipandevipande mnyama mkubwa sana wa baharini.*+

13 Kwa pumzi yake* hulifanya anga lisiwe na mawingu;

Mkono wake humchoma nyoka anayekwepa.*

14 Tazama! Hizi ni kingo tu za njia zake;+

Ni mnong’ono hafifu tu uliosikika kumhusu!

Basi ni nani anayeweza kuelewa mngurumo wake wenye nguvu?”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki